Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza Mwenyezi Mungu, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?” Mwenyezi Mungu akasema, “Panda.” Daudi akauliza, “Je, niende wapi?” Mwenyezi Mungu akajibu, “Nenda Hebroni.”
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.