MEGA.Bible Rechercher
Français

2 Wafalme 6:32

Wakati huu, Al-Yasa alikuwa ameketi ndani ya nyumba yake, akiwa pamoja na wazee. Mfalme akatuma mjumbe kumtangulia, lakini kabla hajafika, Al-Yasa akawaambia wale wazee, “Hammwoni huyu muuaji jinsi anavyotuma mtu kukata kichwa changu? Tazama, wakati mjumbe huyo atakapofika, fungeni mlango na mzuieni asiingie. Je, vishindo vya nyayo za bwana wake haviko nyuma yake?”

Lire dans le contexte

Intégrer ce verset

Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/6/32" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 6:32 — MEGA.Bible"></iframe>