2 Wafalme 6:32
Wakati huu, Al-Yasa alikuwa ameketi ndani ya nyumba yake, akiwa pamoja na wazee. Mfalme akatuma mjumbe kumtangulia, lakini kabla hajafika, Al-Yasa akawaambia wale wazee, “Hammwoni huyu muuaji jinsi anavyotuma mtu kukata kichwa changu? Tazama, wakati mjumbe huyo atakapofika, fungeni mlango na mzuieni asiingie. Je, vishindo vya nyayo za bwana wake haviko nyuma yake?”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- לָחַץlâchatsproperly, to press, i.e. (figuratively) to distress
- רָצַחrâtsachproperly, to dash in pieces, i.e. kill (a human being), especially to murder
- אֱלִישָׁעʼĔlîyshâʻElisha, the famous prophet
- דֶּלֶתdelethsomething swinging, i.e. the valve of adoor
- סָגַרçâgarto shut up; figuratively, to surrender
- זָקֵןzâqênold
- מֲלְאָךְmălʼâka messenger; specifically, of God, i.e. an angel (also a prophet, priest or teacher)
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.