Yoshua 15
1 Mgawo kwa kabila la Yuda, ulienea kufuatana na koo zao, ukishuka kufikia eneo la Edomu, hadi Jangwa la Sini mwisho kabisa upande wa kusini.
2 Mpaka wao wa kusini ulianzia ghuba iliyo kwenye ncha ya kusini mwa Bahari ya Chumvi,
3 ukakatiza kusini mwa Akrabimu, ukaendelea hadi Sini, kisha ukaenda hadi kusini mwa Kadesh-Barnea. Tena ukapitia Hesroni, ukapanda hadi Adari, na ukapinda hadi Karka.
4 Kisha ukaendelea hadi Azmoni, na kuunganika na Kijito cha Misri, na kuishia baharini. Huu ndio mpaka wao wa upande wa kusini.
5 Mpaka wa upande wa mashariki ni Bahari ya Chumvi ukienea mahali Mto Yordani unapoingilia. Mpaka wa upande wa kaskazini ulianzia ghuba ya bahari mahali Mto Yordani unapoingilia,
6 ukapanda hadi Beth-Hogla, na kuendelea kaskazini mwa Beth-Araba hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.
7 Kisha mpaka ulipanda hadi Debiri kutoka Bonde la Akori, na kugeuka kaskazini hadi Gilgali inayotazamana na miteremko ya Adumimu, kusini mwa bonde. Ukaendelea sambamba hadi maji ya En-Shemeshi na kutokeza huko En-Rogeli.
8 Kisha ukapanda kwa kufuata Bonde la Ben-Hinomu sambamba na mteremko wa kusini wa mji mkubwa wa Wayebusi (yaani Yerusalemu). Kutoka hapo ukapanda juu ya kilima magharibi mwa Bonde la Hinomu mwisho wa ncha ya kaskazini mwa Bonde la Warefai.
9 Kutoka juu ya kilima, mpaka ule ukaendelea hadi kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa, ukatokea kwenye miji ya Mlima Efroni na kuteremka kuelekea Baala (yaani Kiriath-Yearimu).
10 Kisha ukapinda upande wa magharibi kutoka Baala hadi Mlima Seiri, ukafuatia sambamba mteremko wa kaskazini mwa Mlima Yearimu (yaani Kesaloni), ukashuka hadi Beth-Shemeshi, na kukatiza hadi Timna.
11 Ukaelekea hadi mteremko wa kaskazini mwa Ekroni, ukageuka kuelekea Shikeroni, ukapita hadi Mlima Baala na kufika Yabineeli. Mpaka ule ukaishia baharini.
12 Mpaka wa magharibi ni pwani ya Bahari Kuu.
13 Kwa kufuata maagizo ya Mwenyezi Mungu kwake, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune sehemu katika Yuda: Kiriath-Arba, yaani Hebroni. (Arba alikuwa baba wa zamani wa Anaki.)
14 Kutoka Hebroni, Kalebu alifukuza hao Waanaki watatu: Sheshai, Ahimani na Talmai, wana wa Anaki.
15 Kutoka hapo akaondoka kupigana dhidi ya watu walioishi Debiri (mji wa Debiri hapo uliitwa Kiriath-Seferi).
16 Kalebu akasema, “Nitamwoza binti yangu Aksa kwa mtu atakayeweza kupigana na kuteka Kiriath-Seferi.”
17 Basi Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu yake Kalebu, akauteka; hivyo Kalebu akamtoa Aksa binti yake, akaolewa naye.
18 Siku moja Aksa alipokuja kwa Othnieli, alimsihi Othnieli amwombe baba yake, Kalebu, shamba. Aksa aliposhuka kutoka punda wake, Kalebu akamuuliza, “Je, wataka nikufanyie nini?”
19 Akamjibu, “Naomba unifanyie jambo moja la hisani. Kwa kuwa umenipa ardhi huko Negebu, nipe pia chemchemi za maji.” Basi Kalebu akampa chemchemi za juu na za chini.
20 Huu ndio urithi wa kabila la Yuda, kufuatana na koo zao:
21 Miji ya kusini kabisa ya kabila la Yuda katika Negebu kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,
22 Kina, Dimona, Adada,
23 Kedeshi, Hazori, Ithnani,
24 Zifu, Telemu, Bealothi,
25 Hazor-Hadata, Kerioth-Hezroni (yaani Hazori),
26 Amamu, Shema, Molada,
27 Hasar-Gada, Heshmoni, Beth-Peleti,
28 Hasar-Shuali, Beer-Sheba, Biziothia,
29 Baala, Iyimu, Esemu,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Siklagi, Madmana, Sansana,
32 Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.
33 Katika Shefela: Eshtaoli, Sora, Ashna,
34 Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Shaaraimu, Adithaimu na Gedera (au Gederothaimu); yote ni miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake.
37 Senani, Hadasha, Migdal-Gadi,
38 Dileani, Mispa, Yoktheeli,
39 Lakishi, Boskathi, Egloni,
40 Kaboni, Lamasi, Kitlishi,
41 Gederothi, Beth-Dagoni, Naama na Makeda; yote ni miji kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
42 Libna, Etheri, Ashani,
43 Yifta, Ashna, Nesibu,
44 Keila, Akzibu na Maresha; yote ni miji tisa pamoja na vijiji vyake.
45 Ekroni, pamoja na makazi yake na vijiji vyake;
46 magharibi mwa Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;
47 Ashdodi, makazi yake na vijiji vyake, na Gaza, makazi yake na vijiji vyake, hadi kufikia Kijito cha Misri na Pwani ya Bahari Kuu.
48 Katika nchi ya vilima: Shamiri, Yatiri, Soko,
49 Dana, Kiriath-Sana (yaani Debiri),
50 Anabu, Eshtemoa, Animu,
51 Gosheni, Holoni na Gilo; miji kumi na moja pamoja na vijiji vyake.
52 Arabu, Duma, Ashani,
53 Yanimu, Beth-Tapua, Afeka,
54 Humta, Kiriath-Arba (yaani Hebroni), na Siori; miji tisa pamoja na vijiji vyake.
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 Kaini, Gibea na Timna; miji kumi pamoja na vijiji vyake.
58 Halhuli, Beth-Suri, Gedori,
59 Maarathi, Beth-Anothi na Eltekoni; miji sita pamoja na vijiji vyake.
60 Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu) na Raba; miji miwili pamoja na vijiji vyake.
61 Huko jangwani: Beth-Araba, Midini, Sekaka,
62 Nibshani, Mji wa Chumvi, na En-Gedi; miji sita pamoja na vijiji vyake.
63 Yuda hakuweza kuwafukuza Wayebusi, walioishi Yerusalemu; hadi leo Wayebusi huishi huko pamoja na watu wa Yuda.
Referencias cruzadas
215
- 1Num 26:55–56, Jos 14:2, Num 33:36–37, Ezk 47:19, Num 34:3–5
- 2Ezk 47:8, Gen 14:3, Isa 11:15, Jos 3:16, Ezk 47:18, Num 34:3
- 3Num 34:4, Jdg 1:36, Gen 14:7, Num 20:1, Num 32:8
- 4Num 34:5, Jos 13:3, Exo 23:31, Gen 15:18
- 5Num 34:12, Num 34:10, Jos 18:15–19
- 6Jos 18:17, Jos 18:19–21
- 71Ki 1:9, 2Sa 17:17, Jos 7:26, Jos 5:9–10, Jos 7:24, Jos 10:38–39, Jos 10:43, Isa 65:10
- 8Jos 18:16, Jos 15:63, Jdg 19:10, Jos 18:28, 2Ki 23:10, Jdg 1:21, 2Ch 28:3, Jer 19:14
- 91Ch 13:6, Jos 18:15, Jdg 18:12, Jos 9:17, 2Sa 6:2
- 10Jdg 14:1, Jos 15:57, Gen 38:12–13, 1Sa 6:12–21, Jdg 14:5
- 112Ki 1:16, Jos 19:43–44, 2Ki 1:6, 1Sa 7:14, 2Ki 1:2–3, Jos 15:45, 1Sa 5:10
- 12Ezk 47:20, Jos 15:47, Num 34:6–7, Deu 11:24
- 13Deu 1:34–36, Jos 14:6–15, Num 14:23–24, Num 13:30
- 14Jdg 1:20, Jdg 1:10, Num 13:22–23, Jos 11:21, Jos 10:36–37, Num 13:33
- 15Jos 10:38, Jos 10:3, Jdg 1:11–13
- 16Jdg 1:12–13, Jdg 1:6
- 17Jdg 1:13, Jdg 3:9, Jdg 3:11, Jos 14:6, 1Ch 2:49, Num 32:12
- 18Gen 24:64, 1Sa 25:23
- 19Jdg 1:14–15, 2Co 9:5, Deu 33:7, 1Sa 25:27, Gen 33:11
- 20Deu 33:7, Gen 49:8–12
- 21Gen 35:21, Neh 11:25
- 23Num 33:37, Jos 12:22, Deu 1:19
- 241Sa 23:14, 1Sa 23:24, 1Sa 23:19, Psa 54:1, 1Sa 15:4
- 261Ch 4:28
- 27Neh 11:26
- 28Gen 26:33, Jos 19:2–3, 1Ch 4:28, Gen 21:31–33, Gen 21:14
- 291Ch 4:29, Jos 19:3, Jos 15:9–11
- 30Jos 19:4, Num 14:45, Deu 1:44, Jdg 1:17
- 311Sa 27:6, 1Sa 30:1, Jos 19:5, 1Ch 12:1
- 32Num 34:11, Neh 11:29
- 33Jdg 16:31, Jdg 13:25, Num 13:23, Jos 19:41
- 34Jos 12:17, Jos 15:53
- 351Sa 17:1, 1Sa 22:1, Jos 10:3, Jos 15:48, Neh 11:29, Jos 12:15, Mic 1:15, Jos 10:10
- 361Sa 17:52
- 382Ki 14:7, 1Sa 10:17, Jdg 21:5, 1Sa 7:16, Jdg 20:1, Gen 31:48–49, 1Sa 7:5–6
- 39Jos 10:3, 2Ki 22:1, Jos 10:31–32, Jos 12:11–12, 2Ki 18:14, 2Ki 19:8, 2Ki 18:17, 2Ki 14:19
- 41Jos 10:21, Jos 10:10, Jos 12:16, Jos 10:28
- 42Jos 10:29, 2Ki 8:22, Jos 19:7, Jos 12:15
- 441Sa 23:1–14, Gen 38:5, Mic 1:14–15
- 45Jos 13:3, 1Sa 5:10, 1Sa 6:17, Amo 1:8, Zep 2:4, Zec 9:5–7
- 461Sa 5:6, 1Sa 5:1, Amo 1:8, 2Ch 26:6, Isa 20:1, Neh 13:23–24
- 47Jos 15:4, Jer 47:1, Jos 13:3, Amo 1:6–7, Num 34:5–6, Jer 47:5, Exo 23:31, Jdg 16:1–21
- 48Jos 21:14
- 49Jos 15:15, Jdg 1:11
- 51Jos 10:41, Jos 11:16, 2Sa 15:12
- 52Isa 21:11
- 54Jos 15:13, Gen 23:2, Jos 14:15
- 551Sa 25:2, 1Sa 23:25, Jos 15:24, Isa 35:2, 1Sa 25:7, 1Ki 18:42, 1Sa 26:1–2, 1Sa 23:14–15
- 57Jos 15:10, Jer 14:1, Gen 38:12
- 581Ch 4:39
- 60Jos 18:14, 1Sa 7:1
- 61Jos 15:6, Jos 18:18
- 621Sa 23:29, 2Ch 20:2
- 63Jdg 1:21, Jdg 1:8, 2Sa 5:6–9, 1Ch 11:4–8
Temas en este capítulo
174
Achor, Achsah, Achzib, Adadah, Adithaim, Adullam, Adummim, Ahiman, Ain, Akrabbim, Amam, Anab, Anak, Anakim, Anim, Aphekah, Arab, Arba, Armies, Ashan, Ashdod, Ashnah, Ass (Donkey), Azekah, Azem, Azmon, Baalah, Beer-Sheba, Beth-Anoth, Beth-Arabah, Beth-Dagon, Beth-Gader, Beth-Hogla, Beth-Lebaoth, Beth-Marcaboth, Beth-Palet, Beth-Shemesh, Beth-Tappuah, Bethul, Beth-Zur, Bilhah, Bizjothjah, Bohan, Bozkath, Cabbon, Cain, Caleb, Canaan, Carmel, Chesalon, Chesil, Chezib, Chor-Ashan, Courage, Dannah, Debir, Dibon, Dilean, Dumah, Eder, Eglon, Egypt, Ekron, Eltekon, Eltolad, Enam, En-Gannim, En-Gedi, En-Rogel, En-Shemesh, Ephron, Eshean, Eshtaol, Eshtemoa, Ether, Ezem, Gaza, Gederah, Gederoth, Gederothaim, Gedor, Geliloth, Gibeah, Giloh, Goshen, Hadashah, Hadattah, Halhul, Hazar-Addar, Hazar-Gaddah, Hazar-Shual, Hazor, Hazor-Hadattah, Hebron, Heshmon, Hilen, Hinnom, Hormah, Humtah, Iim, Israel, Ithnan, Jabneel, Jagur, Janum, Jarmuth, Jattir, Jerusalem, Jezreel, Jiphtah, Jokdeam, Joktheel, Jordan, Joshua, Judah, Judea, Juttah, Kabzeel, Kadesh, Karkaa, Kedesh, Keilah, Kenaz, Kerioth, Kinah, Kirjath-Jearim, Kirjath-Sannah, Kirjath-Sepher, Kithlish, Lachish, Lahmam, Lebaoth, Lot, the, Maaleh-Acrabbim, Maarath, Madmannah, Maon, Mareshah, Mediterranean Sea, Middin, Migdal-Gad, Mizpah, Naamah, Nephtoah, Nezib, Nibshan, Othniel, Philistines, Pillar, Rabbah, Rephaim, Rimmon, Salt, Sansannah, Shaaraim, Shamir, Shema, Sheshai, Shicron, Shilhim, Socoh, Talmai, Tappuah, Telem, Timnah, Topography, Zaanan, Zanoah, Zenan, Ziklag, Zin, Zior, Ziph, Zorah