MEGA.Bible Suchen
Deutsch

Yoshua 5:6

Waisraeli walitembea jangwani miaka arobaini hadi wanaume wote wale waliokuwa na umri wa kwenda vitani wakati waliondoka Misri walipokwisha kufa, kwa kuwa hawakumtii Mwenyezi Mungu. Kwa maana Mwenyezi Mungu alikuwa amewaapia kuwa wasingeweza kuona nchi ambayo alikuwa amewaahidi baba zao katika kuapa kutupatia, nchi inayotiririka maziwa na asali.

Im Zusammenhang lesen

Diesen Vers einbetten

Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jos/5/6" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Yoshua 5:6 — MEGA.Bible"></iframe>