Yoshua 5:6
Waisraeli walitembea jangwani miaka arobaini hadi wanaume wote wale waliokuwa na umri wa kwenda vitani wakati waliondoka Misri walipokwisha kufa, kwa kuwa hawakumtii Mwenyezi Mungu. Kwa maana Mwenyezi Mungu alikuwa amewaapia kuwa wasingeweza kuona nchi ambayo alikuwa amewaahidi baba zao katika kuapa kutupatia, nchi inayotiririka maziwa na asali.Yoshua 5:6 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- חָלָבchâlâbmilk (as the richness of kine)
- זוּבzûwbto flow freely (as water), i.e. (specifically) to have a (sexual) flux; figuratively, to w
- תָּמַםtâmamto complete, in a good or a bad sense, literal, or figurative, transitive or intransitive
- אַרְבָּעִיםʼarbâʻîymforty
- שָׁבַעshâbaʻto seven oneself, i.e. swear (as if by repeating a declaration seven times)
- מִדְבָּרmidbâra pasture (i.e. open field, whither cattle are driven); by implication, a desert; also spe
- מִלְחָמָהmilchâmâha battle (i.e. the engagement); generally, war (i.e. warfare)
- קוֹלqôwla voice or sound
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Num 14:23, Deu 2:14, Heb 3:11, Deu 2:7, Psa 95:10–11, Deu 1:3, Num 14:29–35, Exo 3:8
