MEGA.Bible Suchen
Deutsch

Waamuzi 16:13

Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Hata sasa umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Nieleze ni jinsi gani unavyoweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, “Kama ukivifuma hivi vishungi saba vya nywele za kichwa changu kwa nguo iliyo katika mtande, na kuukaza kwa msumari, ndipo nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.” Hivyo, Samsoni alipokuwa amelala, Delila akachukua vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake na kuvifuma pamoja na nguo kwenye mtande,

Im Zusammenhang lesen

Dieser Vers in der wirklichen Welt

Diesen Vers einbetten

Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jdg/16/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Waamuzi 16:13 — MEGA.Bible"></iframe>