Waamuzi 16:13
Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Hata sasa umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Nieleze ni jinsi gani unavyoweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, “Kama ukivifuma hivi vishungi saba vya nywele za kichwa changu kwa nguo iliyo katika mtande, na kuukaza kwa msumari, ndipo nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.” Hivyo, Samsoni alipokuwa amelala, Delila akachukua vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake na kuvifuma pamoja na nguo kwenye mtande,Dieser Vers in der wirklichen Welt
In welchen Worten
- מַחְלָפָהmachlâphâha ringlet of hair (as gliding over each other)
- דְּלִילָהDᵉlîylâhDelilah, a Philistine woman
- הָתַלhâthalto deride; by implication, to cheat
- הֵנָּהhênnâhhither or thither (but used both of place and time)
- אָרַגʼâragto plait or weave
- כָּזָבkâzâbfalsehood; literally (untruth) or figuratively (idol)
- שִׁמְשׁוֹןShimshôwnShimshon, an Israelite
- אָסַרʼâçarto yoke or hitch; by analogy, to fasten in any sense, to join battle
+5 weitere Wörter in diesem Vers
Die hebräischen und griechischen Wörter hinter diesem Vers. Die Wort-für-Wort-Zuordnung kommt mit der Interlinearversion.