MEGA.Bible Suchen
Deutsch

Ezekieli 46:12

Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa Mwenyezi Mungu, iwe ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, atafunguliwa lango linaloelekea mashariki. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje. Baada yake kutoka nje, lango litafungwa.

Im Zusammenhang lesen

Dieser Vers in der wirklichen Welt

Wer

God

Diesen Vers einbetten

Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/ezk/46/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Ezekieli 46:12 — MEGA.Bible"></iframe>