Ezekieli 32:25
Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale wanaoshuka shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.Dieser Vers in der wirklichen Welt
Wo
In welchen Worten
- חִתִּיתchittîythfear
- כְּלִמָּהkᵉlimmâhdisgrace
- עָרֵלʻârêluncircumcised (i.e. still having the prepuce uncurtailed)
- מִשְׁכָּבmishkâba bed (figuratively, a bier); abstractly, sleep; by euphemism, carnal intercourse
- בּוֹרbôwra pit hole (especially one used as a cistern or a prison)
- קֶבֶרqebera sepulchre
- הָמוֹןhâmôwna noise, tumult, crowd; also disquietude, wealth
- חָלָלchâlâlpierced (especially to death); figuratively, polluted
+8 weitere Wörter in diesem Vers
Die hebräischen und griechischen Wörter hinter diesem Vers. Die Wort-für-Wort-Zuordnung kommt mit der Interlinearversion.
