Kamwe msimwabudu Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kwa njia wanayoabudu miungu yao, kwa sababu katika kuabudu miungu yao, wanafanya aina zote za machukizo anayoyachukia Mwenyezi Mungu. Hata huwateketeza watoto wao wa kiume na wa kike motoni kama kafara kwa miungu yao.
Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.