MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Kumbukumbu La Torati 12:31

Kamwe msimwabudu Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, kwa njia wanayoabudu miungu yao, kwa sababu katika kuabudu miungu yao, wanafanya aina zote za machukizo anayoyachukia Mwenyezi Mungu. Hata huwateketeza watoto wao wa kiume na wa kike motoni kama kafara kwa miungu yao.

Soma katika muktadha

Kumbukumbu La Torati 12:31 katika ulimwengu halisi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/deu/12/31" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Kumbukumbu La Torati 12:31 — MEGA.Bible"></iframe>