MEGA.Bible Suchen
Deutsch

2 Wafalme 16:15

Ndipo Mfalme Ahazi akatoa amri zifuatazo kwa Uria kuhani: “Juu ya hayo madhabahu kubwa mapya, toa sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa na sadaka ya jioni ya nafaka, sadaka ya mfalme ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, pamoja na sadaka yao ya nafaka na sadaka yao ya kinywaji. Unyunyize juu ya hayo madhabahu damu yote ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu. Lakini mimi nitatumia hayo madhabahu ya zamani ya shaba kwa ajili ya kutafuta uongozi.”

Im Zusammenhang lesen

Dieser Vers in der wirklichen Welt

Diesen Vers einbetten

Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/16/15" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 16:15 — MEGA.Bible"></iframe>