2 Wafalme 16:15
Ndipo Mfalme Ahazi akatoa amri zifuatazo kwa Uria kuhani: “Juu ya hayo madhabahu kubwa mapya, toa sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa na sadaka ya jioni ya nafaka, sadaka ya mfalme ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, pamoja na sadaka yao ya nafaka na sadaka yao ya kinywaji. Unyunyize juu ya hayo madhabahu damu yote ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu. Lakini mimi nitatumia hayo madhabahu ya zamani ya shaba kwa ajili ya kutafuta uongozi.”Dieser Vers in der wirklichen Welt
Wann
In welchen Worten
- בָּקַרbâqarproperly, to plough, or (generally) break forth, i.e. (figuratively) to inspect, admire, c
- אוּרִיָּהʼÛwrîyâhUrijah, the name of one Hittite and five Israelites
- זָרַקzâraqto sprinkle (fluid or solid particles)
- אָחָזʼÂchâzAchaz, the name of a Jewish king and of an Israelite
- נֶסֶךְneçeka libation; also a cast idol
- עֶרֶבʻerebdusk
- נְחֹשֶׁתnᵉchôshethcopper, hence, something made of that metal, i.e. coin, a fetter; figuratively, base (as c
- קָטַרqâṭarto smoke, i.e. turn into fragrance by fire (especially as an act of worship)
+13 weitere Wörter in diesem Vers
Die hebräischen und griechischen Wörter hinter diesem Vers. Die Wort-für-Wort-Zuordnung kommt mit der Interlinearversion.
Querverweise
Exo 29:39–41, 2Ki 18:4, 2Ch 29:21–24, 1Ki 8:64, 2Ch 7:4–5, 2Ch 33:6, Ezk 46:4–7, Ezk 46:12–14