MEGA.Bible Suchen
Deutsch

2 Wafalme 15:25

Mmoja wa maafisa wake wakuu, Peka mwana wa Remalia, akapanga njama dhidi yake. Akachukua watu hamsini wa Gileadi pamoja naye, akamuua Pekahia, pamoja na Argobu na Aria, katika ngome ya jumba la kifalme huko Samaria. Kwa hiyo Peka akamuua Pekahia, naye akawa mfalme baada yake.

Im Zusammenhang lesen

Dieser Vers in der wirklichen Welt

Diesen Vers einbetten

Kopiere dieses HTML auf deine Website — frei nutzbar, ohne Schlüssel, ohne Tracking. Hänge ?theme=light oder ?theme=dark an die Adresse an, passend zu deiner Seite.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/15/25" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 15:25 — MEGA.Bible"></iframe>