Hizi ndizo amri alizozitangaza Mwenyezi Mungu kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lenu lote huko mlimani kutoka kati ya moto na wingu na giza nene, wala hakuongeza chochote zaidi. Kisha akaziandika juu ya vibao viwili vya mawe, naye akanipa mimi.
Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.