MEGA.Bible Пошук
Українська

2 Mambo Ya Nyakati 15:8

Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi yule nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji aliyoiteka katika nchi ya vilima ya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya Mwenyezi Mungu iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la Mwenyezi Mungu.

Читати в контексті

Вбудувати цей вірш

Скопіюйте цей HTML на свій сайт — вільне використання, без ключів, без стеження. Додайте ?theme=light або ?theme=dark до адреси, щоб пасувало вашій сторінці.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/15/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 15:8 — MEGA.Bible"></iframe>