2 Mambo Ya Nyakati 15:8
Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi yule nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji aliyoiteka katika nchi ya vilima ya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya Mwenyezi Mungu iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la Mwenyezi Mungu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נְבוּאָהnᵉbûwʼâha prediction (spoken or written)
- עוֹדֵדʻÔwdêdOded, the name of two Israelites
- חָדַשׁchâdashto be new; causatively, to rebuild
- שִׁקּוּץshiqqûwtsdisgusting, i.e. filthy; especially idolatrous or (concretely) an idol
- אוּלָםʼûwlâma vestibule (as bound to the building)
- אָסָאʼÂçâʼAsa, the name of a king and of a Levite
- לָכַדlâkadto catch (in a net, trap or pit); generally, to capture or occupy; also to choose (by lot)
- בִּנְיָמִיןBinyâmîynBinjamin, youngest son of Jacob; also the tribe descended from him, and its territory
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.