MEGA.Bible Kumi
Lea faka-Tonga

Ufunuo 7:9

Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuwahesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.

Lau ʻi hono potutohi

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/rev/7/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Ufunuo 7:9 — MEGA.Bible"></iframe>