2 Mambo Ya Nyakati 24:14
Walipokamilisha kazi hiyo ya kukarabati, wakaleta fedha zilizobaki wakampa mfalme na Yehoyada, nao kwa hizo wakatengeneza vyombo kwa ajili ya Hekalu la Mwenyezi Mungu: Vyombo kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada akiwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa wakati wote katika Hekalu la Mwenyezi Mungu.Ko e veesi ni 'i he māmani mo'oni
'I he ngaahi lea fē
- שָׁרֵתshârêthservice (in the Temple)
- שְׁאָרshᵉʼâra remainder
- יְהוֹיָדָעYᵉhôwyâdâʻJehojada, the name of three Israelites
- תָּמִידtâmîydproperly, continuance (as indefinite extension); but used only (attributively as adjective
- כַּףkaphthe hollow hand or palm (so of the paw of an animal, of the sole, and even of the bowl of
- כָּלָהkâlâhto end, whether intransitive (to cease, be finished, perish) or transitived (to complete,
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- כְּלִיkᵉlîysomething prepared, i.e. any apparatus (as an implement, utensil, dress, vessel or weapon)
+lea 'e 10 kehe 'i he veesi ni
Ko e ngaahi lea faka-Hepelū mo e faka-Kalisi 'oku tu'u 'i he tu'a 'o e veesi ni. 'E ha'u 'a e fakahoa lea-ki-he-lea mo e liliu lea-ki-he-lea.
Ngaahi fetuʻutaki veesi
2Ki 12:13–14, 1Ki 7:50, Num 28:2–29, Exo 29:38–42, Pro 27:22