Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Mwandike huyu mtu kama asiye na mtoto, mtu ambaye hatafanikiwa maisha yake yote, kwa maana hakuna mzao wake atakayefanikiwa, wala kukaa kwenye kiti cha utawala cha Daudi wala kuendelea kutawala katika Yuda.”
Kopyahin ang HTML na ito sa iyong site — malayang gamitin, walang susi, walang pagsubaybay. Idagdag ang ?theme=light o ?theme=dark sa address para tumugma sa iyong pahina.