Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Mwandike huyu mtu kama asiye na mtoto, mtu ambaye hatafanikiwa maisha yake yote, kwa maana hakuna mzao wake atakayefanikiwa, wala kukaa kwenye kiti cha utawala cha Daudi wala kuendelea kutawala katika Yuda.”
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.