Watu hawa wanao uwezo wa kufunga anga ili mvua isinyeshe wakati wote watakapokuwa wanatoa unabii wao. Nao watakuwa na uwezo wa kuyabadili maji kuwa damu na kuipiga dunia kwa kila aina ya mapigo mara kwa mara kama watakavyo.⋮
อ่านในบริบท →
Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/rev/11/6" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Ufunuo 11:6 — MEGA.Bible"></iframe>