Zaburi 51:4
Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi na kufanya yaliyo mabaya machoni pako, ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena, na kuwa na haki unapotoa hukumu.Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi na kufanya yaliyo mabaya machoni pako, ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena, na kuwa na haki unapotoa hukumu.