Zaburi 37:28
Kwa kuwa Mwenyezi Mungu huwapenda wenye haki naye hatawaacha waaminifu wake. Watalindwa milele, lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.Kwa kuwa Mwenyezi Mungu huwapenda wenye haki naye hatawaacha waaminifu wake. Watalindwa milele, lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.