Zaburi 145:13
Ufalme wako ni ufalme wa milele, mamlaka yako hudumu vizazi vyote. Mwenyezi Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake zote na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.Ufalme wako ni ufalme wa milele, mamlaka yako hudumu vizazi vyote. Mwenyezi Mungu ni mwaminifu kwa ahadi zake zote na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.