Mika 2:13
Yeye afunguaye njia atawatangulia; watapita kwenye lango na kutoka nje. Mfalme wao atawatangulia, Mwenyezi Mungu atakuwa kiongozi.”Yeye afunguaye njia atawatangulia; watapita kwenye lango na kutoka nje. Mfalme wao atawatangulia, Mwenyezi Mungu atakuwa kiongozi.”