Malaki 3:14
“Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni?“Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni?