Yoeli 2:26
Mtakuwa na wingi wa vyakula hadi mshibe, na mtalisifu jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, ambaye amefanya maajabu kwa ajili yenu; kamwe watu wangu hawataaibishwa tena.Mtakuwa na wingi wa vyakula hadi mshibe, na mtalisifu jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, ambaye amefanya maajabu kwa ajili yenu; kamwe watu wangu hawataaibishwa tena.