Yeremia 9:17
Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezaji waje, waite wale walio na ustadi kati yao.Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezaji waje, waite wale walio na ustadi kati yao.