Yeremia 51:7
Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu katika mkono wa Mwenyezi Mungu; aliufanya ulimwengu wote ulewe. Mataifa walikunywa mvinyo wake; kwa hiyo sasa wameingiwa na wazimu.Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu katika mkono wa Mwenyezi Mungu; aliufanya ulimwengu wote ulewe. Mataifa walikunywa mvinyo wake; kwa hiyo sasa wameingiwa na wazimu.