Yeremia 51:44
Nitamwadhibu Beli katika Babeli, na kumfanya atapike kitu alichokimeza. Mataifa hayatamiminika tena kwake. Nao ukuta wa Babeli utaanguka.Nitamwadhibu Beli katika Babeli, na kumfanya atapike kitu alichokimeza. Mataifa hayatamiminika tena kwake. Nao ukuta wa Babeli utaanguka.