Yeremia 49:31
“Inuka na ulishambulie taifa lililostarehe, linaloishi kwa kujiamini,” asema Mwenyezi Mungu, “taifa lisilo na malango wala makomeo; watu wake wanaishi peke yao.“Inuka na ulishambulie taifa lililostarehe, linaloishi kwa kujiamini,” asema Mwenyezi Mungu, “taifa lisilo na malango wala makomeo; watu wake wanaishi peke yao.