Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu, kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Mwenyezi Mungu. “Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambayo miongoni mwake nimekutawanya, sitakuangamiza wewe kabisa. Nitakurudi, lakini kwa haki tu, wala sitakuacha kabisa bila kukuadhibu.”