Yeremia 46:15
Kwa nini mashujaa wako wamesombwa na kupelekwa mbali? Hawawezi kusimama, kwa maana Mwenyezi Mungu atawasukuma awaangushe chini.Kwa nini mashujaa wako wamesombwa na kupelekwa mbali? Hawawezi kusimama, kwa maana Mwenyezi Mungu atawasukuma awaangushe chini.