Yeremia 38:20
Yeremia akajibu, “Hawatakutia mikononi mwao. Mtii Mwenyezi Mungu kwa kufanya kile ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha yako yatakuwa salama.Yeremia akajibu, “Hawatakutia mikononi mwao. Mtii Mwenyezi Mungu kwa kufanya kile ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha yako yatakuwa salama.