Yeremia 31:36
“Ikiwa amri hizi zitaondoka machoni pangu,” asema Mwenyezi Mungu, “ndipo wazao wa Israeli watakoma kuwa taifa mbele yangu daima.”“Ikiwa amri hizi zitaondoka machoni pangu,” asema Mwenyezi Mungu, “ndipo wazao wa Israeli watakoma kuwa taifa mbele yangu daima.”