“Basi sasa toa unabii kwa maneno haya yote dhidi yao, uwaambie: “ ‘Mwenyezi Mungu atanguruma kutoka juu; atatoa sauti ya ngurumo kutoka makao yake matakatifu na kunguruma kwa nguvu sana dhidi ya nchi yake. Atapiga kelele kama wao wakanyagao zabibu, atapiga kelele dhidi ya wote wanaoishi katika nchi.