Yeremia 22:7
Nitawatuma waharibifu dhidi yako, kila mtu akiwa na silaha zake, nao watazikata boriti zako bora za mwerezi na kuzitupa motoni.Nitawatuma waharibifu dhidi yako, kila mtu akiwa na silaha zake, nao watazikata boriti zako bora za mwerezi na kuzitupa motoni.