Yeremia 2:37
Pia utaondoka mahali hapo ukiwa umeweka mikono kichwani, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amewakataa wale unaowatumainia; hutasaidiwa nao.Pia utaondoka mahali hapo ukiwa umeweka mikono kichwani, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amewakataa wale unaowatumainia; hutasaidiwa nao.