Yeremia 17:20
Waambie, ‘Sikieni neno la Mwenyezi Mungu, enyi wafalme wa Yuda, nanyi watu wote wa Yuda, na kila mmoja aishiye Yerusalemu apitaye katika malango haya.Waambie, ‘Sikieni neno la Mwenyezi Mungu, enyi wafalme wa Yuda, nanyi watu wote wa Yuda, na kila mmoja aishiye Yerusalemu apitaye katika malango haya.