Yeremia 17:16
Sijakukimbia na kuacha kuwa mchungaji wako; unajua sijaitamani siku ya kukata tamaa. Kile kipitacho mdomoni mwangu ki wazi mbele yako.Sijakukimbia na kuacha kuwa mchungaji wako; unajua sijaitamani siku ya kukata tamaa. Kile kipitacho mdomoni mwangu ki wazi mbele yako.