Waamuzi 5:19
“Wafalme walikuja na kufanya vita; wafalme wa Kanaani walipigana huko Taanaki, karibu na maji ya Megido, lakini hawakuchukua nyara za fedha.“Wafalme walikuja na kufanya vita; wafalme wa Kanaani walipigana huko Taanaki, karibu na maji ya Megido, lakini hawakuchukua nyara za fedha.