Ezra 3:8
Katika mwezi wa pili wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kufika kwenye nyumba ya Mungu huko Yerusalemu, Zerubabeli mwana wa Shealtieli, Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zao wengine (makuhani, Walawi na wote waliorejea Yerusalemu kutoka uhamishoni) walianza kazi, wakiteua Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi kusimamia ujenzi wa nyumba ya Mwenyezi Mungu.ข้อนี้ในโลกจริง
ที่ไหน
ด้วยถ้อยคำใด
- יוֹצָדָקYôwtsâdâqJotsadak, an Israelite
- שְׁאַלְתִּיאֵלShᵉʼaltîyʼêlShealtiel, an Israelite
- זְרֻבָּבֶלZᵉrubbâbelZerubbabel, an Israelite
- שְׁאָרshᵉʼâra remainder
- יֵשׁוּעַYêshûwaʻJeshua, the name of ten Israelites, also of a place in Palestine
- שְׁבִיshᵉbîyexiled; captured; as noun, exile (abstractly or concretely and collectively); by extension
- נָצַחnâtsachproperly, to glitter from afar, i.e. to be eminent (as a superintendent, especially of the
- חָלַלchâlalproperly, to bore, i.e. (by implication) to wound, to dissolve; figuratively, to profane (
อีก 15 คำในข้อนี้
คำภาษาฮีบรูและกรีกที่อยู่เบื้องหลังข้อนี้ การจับคู่คำต่อคำจะมาพร้อมกับฉบับแปลคำต่อคำ
