Ezekieli 18:2
“Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?“Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?