Kutoka 13:14
“Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu Mwenyezi Mungu alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.“Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu Mwenyezi Mungu alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.