Katika mwanzo wa mwaka mpya, wakati wafalme hutoka kwenda vitani, Daudi akamtuma Yoabu pamoja na watu wa mfalme na jeshi lote la Israeli. Wakawaangamiza Waamoni na kuuzingira mji wa Raba. Lakini Daudi akabaki Yerusalemu.⋮
อ่านในบริบท →
Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/11/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 11:1 — MEGA.Bible"></iframe>