2 Samweli 1:2
Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.