2 Wafalme 5:25
Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Al-Yasa bwana wake. Al-Yasa akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?” Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakuenda popote.”Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Al-Yasa bwana wake. Al-Yasa akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?” Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakuenda popote.”