2 Wafalme 17:19
Hata hivyo, Yuda nao hawakuzishika amri za Mwenyezi Mungu, Mungu wao. Wakafuata desturi ambazo Israeli walikuwa wamezianzisha.Hata hivyo, Yuda nao hawakuzishika amri za Mwenyezi Mungu, Mungu wao. Wakafuata desturi ambazo Israeli walikuwa wamezianzisha.