2 Wafalme 15:25
Mmoja wa maafisa wake wakuu, Peka mwana wa Remalia, akapanga njama dhidi yake. Akachukua watu hamsini wa Gileadi pamoja naye, akamuua Pekahia, pamoja na Argobu na Aria, katika ngome ya jumba la kifalme huko Samaria. Kwa hiyo Peka akamuua Pekahia, naye akawa mfalme baada yake.ข้อนี้ในโลกจริง
ด้วยถ้อยคำใด
- אַרְיֵהʼAryêhArjeh, an Israelite
- אַרְגֹּבʼArgôbArgob, a district of Palestine
- גִּלְעָדִיGilʻâdîya Giladite or descendant of Gilad
- פֶּקַחPeqachPekach, an Israelite king
- רְמַלְיָהוּRᵉmalyâhûwRemaljah, an Israelite
- שָׁלִישׁshâlîysha triple, i.e. (as a musical instrument) a triangle (or perhaps rather threestringed lute)
- אַרְמוֹןʼarmôwna citadel (from its height)
- קָשַׁרqâsharto tie, physically (gird, confine, compact) or mentally (in love, league)
อีก 9 คำในข้อนี้
คำภาษาฮีบรูและกรีกที่อยู่เบื้องหลังข้อนี้ การจับคู่คำต่อคำจะมาพร้อมกับฉบับแปลคำต่อคำ

