Mfalme Uzia alikuwa na ukoma hadi siku ya kufa kwake. Akatengwa katika nyumba ya pekee akiwa mwenye ukoma, naye akawa ametengwa kutoka Hekalu la Mwenyezi Mungu. Yothamu mwanawe akawa msimamizi wa jumba la mfalme, pia akawaongoza watu wa nchi.⋮
อ่านในบริบท →
Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/26/21" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 26:21 — MEGA.Bible"></iframe>